Pages

January 28, 2014

SOKA LA MAJUU


It's certainly been an entertaining night's football - let's hope for more of the same tomorrow. I'm sure Liverpool supporters are looking forward to work tomorrow. Result of the night? There's been a few contenders, but the Reds have certainly raised a few eyebrows with that result. Anyway, that's all from me. Good night!
Luis Suarez

Kifaa cha alcohol blow.kenya na tanzania


Court fines magistrate Sh20,000 for drunk-driving

 

A motorist takes a breathalyser test during a crackdown on drunk- driving last month in Nairobi.

A magistrate who was arrested during the crackdown on drunk drivers was Tuesday fined Sh20,000 at the Milimani Law Courts in Nairobi after admitting he committed the offence.

Charles Kamau Mwaniki, who was scheduled to appear in open court, was taken straight to the chambers of principal magistrate Enock Cherono where he answered the charge filed against him by police from Kasarani Division.

Mr Mwaniki admitted he drove the his Toyota Prado car while drunk, becoming the first high ranking public official to be caught in breach of road safety regulations.

“This court convicts you on your own plea of guilty. You are hereby fined Sh20,000 or serve a six months in jail in default,” Mr Cherono ruled. The maximum fine for the offence is Sh100,000.

Police accused Mr Mwaniki of driving the vehicle while drunk on January 25.

Besides the magistrate, TK Katana (Teacher Kilunda) of Tahidi High, a local television drama series, was charged on Monday for driving while under the influence of alcohol.

The actor said that he was remorseful and would not break the law again. More than 100 motorists were charged with the offence, earning the government Sh2 million in fines.

The suspects were charged after breatherlyser (alcoblow) tests showed the alcohol in their blood exceeded the set limits.

Police are also hunting down 20 traffic offenders who skipped court after being given police bonds.

A police report released in December showed that motorists were fined Sh1.05 billion by the courts for traffic offences last year.

Dr. Slaa: Mabomba ya gesi toka Mtwara yanaelekea Ulaya!

Nimeshitushwa na maneno ya Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr. Slaa alipokua akiwahutubia wananchi wa Iringa kuwa Mabomba ya gesi inayochimbwa Mtwara yanaelekezwa Ulaya badala ya kuelekezwa kwa wananchi wa Mtwara. Ameeleza hayo bila kufafanua ukweli wa jambo hilo.

January 27, 2014

HILI NDIO GARI LA JIPYA LAMSANII LINEX LINENGA.


MSANIII WA BONGO FLEVA LINEX LINENGA...HAPO CHINI NDIO MKOKO WAKE MPYA...

Picha,Mwigulu Nchemba afunika Ufunguzi wa kampeni bagamoyo,Haijawahi tokea







Naibu Katibu Mkuu CCM Bara Mh;Mwigulu Nchemba akiwasili kwenye Uwanja wa Mkutano Kata ya Kibindu Wilaya ya Bagamoyo, Mkoani Pwani hii leo Jioni kwaajili ya Ufunguzi wa kampeni za Uchaguzi wa Udiwani CCM kwenye kata hiyo hii leo tar.27.01.2014.
Mh;Mwigulu Nchemba akimpatia Kadi ya Uanachama wa CCM mmoja ya Wananchi walioamua kujiunga na Chama Cha Mapinduzi kwa hiari yao hii leo ndani ya kata ya Kibindu Wilayani Bagamoyo.


Sehemu ya Kundi Moja la Wananchi waliojiunga na Chama Cha Mapinduzi wakila Kiapo cha Utii kwa Mujibu wa katiba ya CCM.Hii leo Mh;Mwigulu Nchemba amekabidhi kadi kwa Wanachama wapya 66 kwenye kata ya Kibindu.



Akiwa njiani Kuelekea Uwanja wa Mkutano,Vijana wakereketwa wa Chama Cha Mapinduzi Kitongozi cha Kwamasanja walimuomba Naibu Katibu Mkuu awafungulie Shina lao kwaajili ya Kuimarisha Umoja wa Vijana na shughuli za Kiuchumi zinazofanyika mtaani hapo na WanaCCM.



Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Siasa Mkoa wa Pwani kwa Chama Cha Mapinduzi Ndugu.Imani Madega akiwasalimia Wananchi waliofurika viwanja vya soko kata ya Kibindu.Madega amewaomba Wanakibindu kufanya maamuzi sahihi katika Maisha yao kwa kumchagua Mgombea wa CCM kwa sababu ndiye mwenye Ilani inayotekelezwa kwenye kata hiyo.



Mbunge wa Mkuranga na Naibu Waziri wa Fedha Mh;Adam Malima akisalimiana na Wananchi waliofika kwenye Ufunguzi wa Kampeni za Udiwani kata ya Kibindu hii leo.



Mh;Mwigulu Nchemba akiwasalimia Wananchi mara baada ya Kupandwa Jukwaani kwaajili ya kuanza kuhutubia Ufunguzi wa Kampeni za Udiwani kata ya Kibindu.



Huu ni Upande wa Mashariki wa Jukwaa,Mamia ya Wananchi wakimsikiliza Mh;Mwigulu Nchemba ambaye sehemu Kubwa ya Hotuba yake amewaomba sana WanaKibindu kufanya kampeni kwa Amani na Utulivu,Kupuuzia Wote wanaodai Miaka 50 CCM haijafanya kitu ndani ya Jimbo la Bagamoyo ili hali Barabara, Maji,Umeme(sola),Shule na Vituo Vya Afya vimejengwa ndani ya Kata ya Kibindu kwa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi.



Upande wa Kaskazini wa Jukwaa,Mh:Mwigulu Nchemba akiwasisitizia jambo wananchi kuhusu CHADEMA na namna wanavyosababisha mauaji kwenye Mikutano ya hadhara ili tu wapate mtaji wa kisiasa.Mwigulu amesema Watanzania wajiulize kuna vyama vya siasa 21 vyenye usajili wa Kudumu ndani ya Nchi yetu,Lakini kwa muda wa Miaka 3 tu CHADEMA wameshasababisha Vifo zaidi ya 10 kwenye Mikutano yao,Wakati Vyama Vingine vyote hata mkwaruzano tu haujawahi kutokea kwenye mikutano yao.
CCM"Tumesimamisha mgombea Kijana,anakubalika na Wakazi wote wa Kibindu,Mchagueni Ndugu Mkufya Ramadhani kuwa Diwani wenu hapa aendeleze yale yalioachwa na Marehemu Rajabu Almas aliyekuwa Diwani(CCM) wenu hapa.Msijaribu kugeuza Kibindu eneo la majaribio kwa Wapinzani,wameshindwa kujiongoza wao ndani ya chama chao,Wameshindwa kuongoza Halmashauri mbalimbali walizopewa waongoze(Mwanza n.k),Hivyo hawana sifa za kuongoza Jamii yenye kiu ya maendeleo kama hii ya Kibindu,watawapotezea muda na Ipo siki wataleta Maandamano huku ilihali mmekuwa mkiishi kwa Amani na Upendo."

Mh;Mwigulu Nchemba akimnadi Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Mkufya Ramadhani kwa Wakazi wa Kibindu waliojitokeza kwa wingi sana kwneye Mkutano huu wa Ufunguzi wa kampeni.'



Mkutano Umeshamalizika,Mh;Mwigulu Nchemba anaagana na Wananchi waliojitokeza kwenye Mkutano huu wa Ufunguzi wa Kampeni za Uchaguzi mdogo wa Udiwani unaoendelea Kata ya Kibindu,Wilaya ya Bagamoyo.

Askofu Desmond Tutu aanzisha chama cha mashoga!




ARCHBISHOP Desmond Tutu has surprised South Africans by announcing the formation of a gay political party called the Democratic Religious Alliance Against Minority Antagonism (DRAAMA), which will take part in a general election later this year.

Last year Tutu outraged Christians when he declared: “I would refuse to go to a homophobic heaven…No, I would say sorry, I mean I would much rather go to hell…I would not worship a God who is homophobic and that is how deeply I feel about this.”

The Nobel Peace Prize laureate and South African archbishop emeritus added that he does not believe religion provides justification for homophobia.

His passion on the issue has led him to form the world’s first gay political party to address an issue which he feels president Jacob Zuma “tiptoes” around.

The first and last time we ever heard president Jacob Zuma addressing issues around anti-homophobia was when he had to make a public apology regarding a damaging statement he made about this minority group.

In a media statement released on Wednesday, DRAAMA said it is set to be at the forefront of minority human-rights issues the current ruling party has dragged its feet in addressing.

According to this report: “With gay socialite and choreographer Somizi Mhlongo being poached as the party’s spin doctor, South Africans should brace themselves for a lot of DRAAMA!!!”

Said Mhlongo: “I was pleasantly surprised upon receiving a call from the honourable Archbishop Desmond Tutu informing me of his intentions and his request for my involvement.”

Before his election as South African President Jacob Zuma was forced to apologise after offending the gay community.

He was quoted as saying that same-sex marriages were: “A disgrace to the nation and to God.”

He also said that when he was a young man, he would have knocked down any homosexual person he met.

He later retracted his words and explained: “My remarks were made in the context of the traditional way of raising children … I said the communal upbringing of children in the past was able to assist parents to notice children with a different social orientation. I however did not intend to have this interpreted as a condemnation of gays and lesbians.”

He also said he respected: “The sterling contribution of many gay and lesbian compatriots in the struggle that brought about our freedom.”

Across the border Mugabe has condemned South Africa for their stance on gay rights, claiming that they should not be upheld as they are not human rights. He said: “Gays and lesbians are worse than pigs and dogs. We cannot allow our children to be worse than wild animals.”



ARCHBISHOP Desmond Tutu has surprised South Africans by announcing the formation of a gay political party called the Democratic Religious Alliance Against Minority Antagonism (DRAAMA), which will take part in a general election later this year.

Last year Tutu outraged Christians when he declared: “I would refuse to go to a homophobic heaven…No, I would say sorry, I mean I would much rather go to hell…I would not worship a God who is homophobic and that is how deeply I feel about this.”

The Nobel Peace Prize laureate and South African archbishop emeritus added that he does not believe religion provides justification for homophobia.

His passion on the issue has led him to form the world’s first gay political party to address an issue which he feels president Jacob Zuma “tiptoes” around.

The first and last time we ever heard president Jacob Zuma addressing issues around anti-homophobia was when he had to make a public apology regarding a damaging statement he made about this minority group.

In a media statement released on Wednesday, DRAAMA said it is set to be at the forefront of minority human-rights issues the current ruling party has dragged its feet in addressing.

According to this report: “With gay socialite and choreographer Somizi Mhlongo being poached as the party’s spin doctor, South Africans should brace themselves for a lot of DRAAMA!!!”

Said Mhlongo: “I was pleasantly surprised upon receiving a call from the honourable Archbishop Desmond Tutu informing me of his intentions and his request for my involvement.”

Before his election as South African President Jacob Zuma was forced to apologise after offending the gay community.

He was quoted as saying that same-sex marriages were: “A disgrace to the nation and to God.”

He also said that when he was a young man, he would have knocked down any homosexual person he met.

He later retracted his words and explained: “My remarks were made in the context of the traditional way of raising children … I said the communal upbringing of children in the past was able to assist parents to notice children with a different social orientation. I however did not intend to have this interpreted as a condemnation of gays and lesbians.”

He also said he respected: “The sterling contribution of many gay and lesbian compatriots in the struggle that brought about our freedom.”

Across the border Mugabe has condemned South Africa for their stance on gay rights, claiming that they should not be upheld as they are not human rights. He said: “Gays and lesbians are worse than pigs and dogs. We cannot allow our children to be worse than wild animals.”

kumbe kula pesa za misiba si tanzania tu hadi bondeni

Upinzani nchini Afrika Kusini unataka
uchunguzi kufanywa kuhusiana na
madai ya ubadhirifu wa pesa
zilizotengwa na chama hicho kwa
matumizi wakati wa hafla ya mazishi
ya hayati Nelson Mandela.

Matakwa hayo ya upinzani
yametolewa baada ya taarifa za jarida
moja kusema kuwa, sehemu ya dola
elfu miatano zilizotengwa mahsusi kwa
shughuli ya kuwasafirisha
waombolezaji katika mazishi ya Mandela, zilitumiwa kwa shughuli
nyinginezo ikiwemo kushonesha fulana
za chama cha ANC Chama cha ANC ambacho kimezongwa
na kashfa za ufisadi hakijajibu tuhuma
hizo.
Duru kutoka mji wa East London
zimesema takriban dola laki tano
zilitengwa kando kusaidia katika
kuwasafirisha waombolezaji wakati wa
ibada maalum ya Nelson Mandela.

Hata hivyo fedha hizo zilielekewa kwa
kampuni nyingine ambazo hazikua
zikitoa huduma za uchukuzi. Diwani mmoja wa chama cha
Democratic Alliance ameambia BBC
kwamba zilitolewa risiti bandia.

Manispa hio imesema inasubiri ripoti
kamili kuwasilishwa mbele yake
mwishoni mwa mwezi huu.

Utawala
wa Rais Jacob Zuma unakabiliwa na
uchaguzi mgumu mwaka huu wakati
ukikumbwa na sakata nyingi za ufisadi

CCM na Serikali, Kwanini MAAZIMIO ya Kamati ya Bunge chini ya Mwakyembe yamepuuzwa?


Ni miaka takribani saba sasa tangu Kamati teule ya Bunge iliyoundwa kuchunguza mkataba wa kampuni hewa ya Richmond iliyotumiwa kuliibia taifa na Waziri mkuu wa wakati huo Edward Lowasa ilipokutwa "Jinai"

Baada ya kubaini wizi mkubwa ulioongozwa na Edward Lowasa akiwa Waziri Mkuu na yule waziri wa nishati na madini mr Msabaha, Kamati teule ya Bunge ilitoa maadhimio/mapendekezo 16, lakini serikali imeshindwa kutekeleza mapendekezo hayo,

Swali ni, Kwanini serikali ya Chama cha Mapinduzi imeshindwa kutekeleza mapendekezo hayo?


Hebu Tujikumbushe maadhimio ya Kamati ya Mwakyembe!





Mapendekezo ya Kamati Teule Mheshimiwa Spika,

Kutokana na uchunguzi wa kina tuliuainisha katika taarifa hii, Kamati Teule imejiridhisha na hivyo inatamka bayana mbele ya Bunge Tukufu kuwa mchakato wa zabuni ya kuzalisha umeme wa dharura wa MW 100, uliopelekea Richmond Development Company LLC kuteuliwa na hivyo kusaini mkataba na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) tarehe 23 Juni 2006 na baadaye kurithiwa na Dowans Holdings S.A tarehe 23 Desemba 2006, uligubikwa na vitendo vya ukiukwaji taratibu, kanuni na sheria za nchi na hivyo kujenga kiwingu cha mashaka ya upendeleo, ubadhirifu na rushwa ambavyo vimechangia kumuongezea mwananchi mzigo wa gharama za umeme. Aidha, Kamati Teule imethibitisha bila ya shaka lolote kuwa uteuzi wa Kampuni dhaifu kifedha, kiufundi na kiuzoefu na ambayo haina usajili Marekani wala Tanzania kama kampuni yenye ukomo wa hisa, yaani Richmond Development Company LLC, ulitokana na kubebwa bila woga wala aibu na viongozi waandamizi wa Serikali. Kutokana na msingi huo Kamati Teule inapendekeza yafuatayo:

(1) Sheria ya Ununuzi wa Umma ya Mwaka 2004 (Public Procurement Act, 2004) haina nguvu ya kutosha ya kuiwezesha Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) kutekeleza majukumu yake ya kuhakikisha kwamba Ununuzi wa Umma unaboreshwa kwa kuongeza ushindani wa ukweli na uwazi na hivyo kuipa Serikali thamani halisi ya pesa zake. Kamati Teule inapendekeza kwamba sheria hii ipitiwe upya ili kuiboresha kwa kuipa Mamlaka nguvu zaidi za udhibiti na uwezo wa kuchukua hatua pale Sheria na Kanuni zinapokiukwa, badala ya kutoa ushauri tu kama ilivyo sasa.

(2) Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma isiwajibike Wizara ya Fedha ambayo nayo ni taasisi ya ununuzi (procurement entity) badala yake iwe chombo huru kinachowajibika Ofisi ya Rais na taarifa zake kuwasilishwa Bungeni.

(3) Mkataba kati ya TANESCO na Richmond Development Company LLC na sasa Dowans Holdings S.A, kama ilivyo mikataba kati ya TANESCO na IPTL, SONGAS, AGGREKO na Alstom Power Rentals inatoa unafuu usiostahili kwa makampuni hayo ya umeme na kuiumiza TANESCO na hatimaye watumiaji na walipa kodi kimapato, k.m mikataba hiyo kuwa na vipengele vya kuibana TANESCO kuyalipia makampuni hayo kodi zinazohusika na uendeshaji (operations), matengenezo/marekebisho ya mara kwa mara ya mitambo (maintenance) gharama za bima, ada za mawakili na washauri elekezi (consultants) gharama za mafuta na gesi ya kuendeshea mitambo, gharama za ukodishaji mitambo (capacity charges) ambazo TANESCO hulipa kila mwezi si chini ya wastani wa shilingi bilioni 2 kwa kila kampuni, izalishe au isizalishe umeme. Kamati Teule inatoa rai kwa Serikali kuwa mikataba yote hii ipitiwe upya mapema iwezekanavyo kama ambavyo mikataba ya madini inavyopitiwa upya sasa na Serikali. Bila kufanya hivyo, mzigo mkubwa wa gharama za umeme utawaelemea wananchi na kushindwa kufikia azma ya Serikali ya maisha bora kwa kila Mtanzania.

(4) Mkataba kati ya TANESCO na Richmond Development Company LLC ulikuwa wa uzalishaji umeme wa dharura kipindi ambacho nchi ilikuwa katika hali ngumu ya ukame uliokausha mabwawa yote ya kuzalishia umeme. Kamati Teule inaitaka Serikali kutathmini upya uhalali wa kuwepo na kuendelea kuwepo na mkataba huo kutokana na udanganyifu bayana uliofanywa na Richmond Development Company LLC kuhusu uwezo wake kifedha, kiufundi, na uzoefu wake katika masuala ya uzalishaji umeme; usajili na uwepo wake kisheria kama kampuni halali yenye ukomo wa hisa nchini Marekani na Tanzania; uhusiano wake kisheria na Kampuni kubwa ya Kimataifa ya Pratt & Whitney na utambulisho wa Mzungu mmoja kwa jina la John Perun kama mwakilishi wa Pratt & Whitney, mambo ambayo Kampuni hiyo kubwa ya Kimataifa imeyakanusha vikali.

(5) Mkataba kati ya TANESCO na Richmond Development Company LLC na sasa Dowans Holdings S.A umesheheni makosa mengi ya kisheria yanayoashiria udhaifu mkubwa wa kitaalamu katika Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali au ukosefu wa umakini ama ubinafsi katika kuiwakilisha Serikali. Kwa mfano, kushindwa kutambua ukosefu wa sifa za kikampuni za Richmond Development Company LLC; kushindwa kuishauri Serikali kuifanyia kampuni hiyo ukaguzi wa awali (due deligence) au ukaguzi baada ya uteuzi (post qualification); kushindwa kutambua tofauti kati ya consortium agreement na proprietary information agreement; kushindwa kuona dosari kisheria za proprietary information agreement; kushindwa kuona tofauti kisheria kati ya Richmond Development Company LLC, RDEVCO,RDVECO na RDC, majina ambayo wamiliki wa Richmond Development Company LLC walikuwa wanayatumia kwa kubadilisha badilisha (interchangerbly) kwa makusudi; kushindwa kuwashauri Wajumbe wa GNT kwamba business card si mbadala wa hati mahsusi kisheria; kushindwa kuishauri Serikali kuhakikisha kuwa muhtasari wa majadiliano kati ya Kamati ya Serikali ya Majadiliano (GNT) na Richmond Development Company LLC ambao ulizingatia baadhi ya maslahi ya nchi, uwe sehemu ya Mkataba kati ya TANESCO na Richmond Development Company LLC; kushindwa kuishauri Serikali kutumia fursa iliyokuwepo wazi ya kuvunja Mkataba baada ya Richmond Development Company LLC kushindwa kutekeleza sehemu yake ya Mkataba; kushindwa kuhudhuria idadi kubwa ya vikao muhimu vya majadiliano;n.k. Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambaye katika majadiliano yake na Kamati Teule alionyesha kutokuelewa kabisa kilichokuwa kinatendeka na wasaidizi wake, na mwakilishi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali Wakili wa Serikali Donald Chidowu, ambaye ushiriki wake katika GNT haukuwa na tija yeyote, wawajibishwe na Mamlaka ya juu ya nchi kwa kuchangia kuiingiza nchi katika mkataba wa aibu.


(6) Katika mikataba yote na makampuni ya nje Serikali ihakikishe kuwa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) inatumika kikamilifu katika kupata taarifa kamili za kampuni hizo, kama vile wanahisa, mitaji na anwani. Aidha, Ofisi zetu za Ubalozi zilizo sehemu mbalimbali duniani zihusishwe katika majadiliano na makampuni yanayotoka nje ya nchi kwa lengo la kupata taarifa zao za msingi na kuboresha nguvu ya hoja ya Serikali.

(7) Madhumuni ya Mkataba kati ya TANESCO na Richmond Development Company LLC yalikuwa kuzalisha umeme wa dharura kwa kipindi cha miezi kumi na mbili (12) tu.
Muda huo ungeweza kuongezwa baada ya kutathmini hali ya ongezeko la maji katika mabwawa ya kuzalishia umeme nchini. Kabla ya muda wa tathmini hiyo haujafikiwa, wakati majadiliano yakiendelea GNT ikaongezea Richmond Development Company LLC muda wa kukodi mitambo hiyo kuwa miaka miwili (2). Kamati Teule haikuona vielelezo vyovyote vilivyojenga uhalali kwa GNT kuongeza muda huo. Uamuzi huo umeliongezea Taifa mzigo mkubwa wa gharama zisizokuwa za lazima. Mathalan, kwa upande wa capacity charges tu, TANESCO itailipa Dowans Holdings S.A jumla ya shilingi bilioni 54.8 kwa kipindi kilichongezwa cha mwaka mmoja.

Aidha, GNT ilishindwa kutambua ulaghai wa Richmond Development Company LLC kuhusu mwakilishi wa Pratt & Whitney na hivyo kuamini karatasi ambayo ilikuwa haijathibitishwa na mawakili na diskette zenye picha za mitambo ya Pratt & Whitney, vielelezo ambavyo Kamati Teule imegundua na kuthibitisha kuwa vilikuwa vya kugushi. Vilevile, bila kujali kwamba TANESCO ingelezimika kuilipa Richmond Development Company LLC shilingi milioni 152 kwa siku kama gharama ya kuweka vifaa vyao nchini, GNT ikakubali kilegelege kuitoza Richmond Development Company LLC shilingi milioni 12 tu kwa siku kama fidia kwa ucheleweshaji wa kuanza kuzalisha umeme kulingana na tarehe iliyokubalika kwenye mkataba. Kamati Teule inapendekeza kuwa Wajumbe wote wa GNT ambao ni maafisa waandamizi wa Serikali wawajibishwe mara moja kwa kushindwa kutumia elimu na ujuzi wao kulinda maslahi ya Taifa.



(8) Pamoja na Uongozi wa TANESCO kubainisha mapungufu ya Richmond Development Company LLC na kutoa notisi tarehe 27 Octoba 2006 ya kusitisha Mkataba tena kwa ushauri mahsusi kutoka Kampuni ya Kimataifa ya Mawakili, Wizara ya Nishati na Madini haikuupenda mwelekeo huo hivyo tarehe 28 Novemba 2006 baadaye Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Nazir Karamagi, Mb akiwa nje ya nchi Calgary, Canada alimuagiza Mwenyekiti wa Bodi ya TANESCO Balozi Kazaura kuangalia uwezekano wa kuhaulisha Mkataba wa Richmond kwa kampuni nyingine. Siku tano baada ya mawasiliano hayo, yaani tarehe 4 Desemba 2006, TANESCO ikapokea barua kutoka Richmond Development Company LLC ikielezea nia ya kampuni hiyo kutumia haki yake chini ya kifungu 15.12 cha mkataba ili kuhamisha majukumu yake ndani ya mkataba kwenda kwa kampuni mpya ya Dowans Holdings S.A. Kamati Teule ilipata taarifa za ndani ya Wizara na TANESCO kuwa viongozi wa Wizara kama kawaida yao waliishinikiza TANESCO kuridhia ombi hilo la Richmond Development Company LLC kuhaulisha mkataba kwa Dowans Holdings S.A. TANESCO ikalazimika kuridhia uhaulishaji wa mkataba huu badala ya kutumia fursa iliyokuwepo ya kusitisha mkataba baada ya kutoa notisi ya siku thelathini. Kamati Teule inaamini kwamba uamuzi wa Wizara ya Nishati na Madini kuizuia TANESCO isitumie fursa ya kusitisha mkataba huo, unaashiria jinsi viongozi wetu wanavyojali zaidi faida na maslahi ya makampuni ya nje kuliko maslahi mapana ya Taifa. Tarehe 3 Desemba TANESCO kama ilivyoagizwa ikaridhia uhaulishwaji wa mkataba huo lakini kipindi ambacho hali ya maji katika mabwawa yetu ya kuzalishia umeme ilishaanza kurejea kuwa ya kawaida. Uamuzi huo umeingizia Taifa hasara kubwa. Hivyo basi Kamati Teule inapendekeza kwamba Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Nazir Karamagi, Mb aliyeshabikia sana uhaulishaji huo, awajibishwe.



(9) Matokeo ya uchunguzi ya Kamati Teule kama yalivyoainishwa hapo juu yanadhihirisha wazi jinsi Taifa lilivyotumbukizwa kwenye hasara kubwa kutokana na mkataba huo wa Richmond Development Company LLC na Dowans Holdings S.A, kinyume na taarifa iliyotolewa na TAKUKURU (wakati huo TAKURU) kwamba Taifa halikupata hasara yoyote. Taarifa ya TAKUKURU ililenga kuficha ukweli (white wash) hivyo ikaishia kujikanganya kwa kukiri kuwepo kwa mapungufu lakini yasiyokuwa na athari. Taarifa hiyo imemong’onyoa kwa kiasi kiasi kikubwa hadhi na heshima ya chombo hiki muhimu cha kitaifa kilichopewa dhamana ya kupambana na rushwa na sio kuipamba ili kurejesha heshima ya umma katika taasisi hiyo. Kamati teule inapendekeza mabadiliko ya haraka ya uongozi wa taasisi hiyo.



(10) Taratibu za malipo ya madai ya mkataba wa umeme wa dharura zinafanywa kupitia Barua ya Dhamana ya Benki iliyofunguliwa kati ya TANESCO na benki ya CRDB ya dola za Kimarekani milioni 30,696,598 iliyofunguliwa tarehe 27 Desemba 2006. Kamati Teule imethibitisha kwamba hadi kufikia tarehe 19 Juni 2007 malipo yaliyolipwa na Benki Kuu yamefikia Dola za Kimarekani 35,561,598 kiasi hicho ni zaidi ya Barua ya Dhamana ya Benki kwa dola za kimarekani milioni 4,565,000 wastani wa shilingi bilioni 5.7. Kamati Teule inashangaa ni vipi Benki Kuu iidhinishe malipo hayo nje ya Barua ya Dhamana ya Benki iliyofunguliwa kati ya TANESCO, CRDB Bank na Dowans Holdings S.A. Kwa kuwa Benki Kuu ndio msimamizi mkuu wa akaunti maalum (Escrow Account), Gavana wa Benki Kuu pamoja na Bodi ya Wakurugenzi wachunguze kwa makini uhalali wa malipo hayo na kuhakikisha kwamba udhaifu wa namna hii haujitokezi tena hapo baadaye.



(11) Wakati umefika sasa kwa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma ya mwaka 1995 (Public Leadership Code of Ethics Act) ifanyiwe marekebisho makubwa ili kudhibiti utaratibu unaonekana wa kawaida sasa wa viongozi waandamizi wenye dhamana kisiasa kuendelea na biashara zao wakiwa madarakani, hivyo kuwaweka kwenye mtihani mkubwa wa mgongano wa kimaslahi katika maamuzi yao. Tufike mahali ambapo sheria iwalazimu kuchagua kati ya Utumishi wa Umma au biashara binafsi. Viongozi waandamizi wenye dhamana kisiasa (mawaziri na kuendelea) kuendelea na biashara zao wakiwa madarakani hivyo kuwaweka kwenye mtihani mgumu wa mgongano wa kimaslahi.



(12) Serikali iondokane kabisa na utaratibu wa kutumia mawakala katika ununuzi wa mitambo ya kuzalisha umeme nchini na kuhakikisha kuwa Wizara husika ina taarifa za bei halisi ya mitambo kila wakati ili kujiepusha na mchezo wa kawaida wa mawakala kupandisha bei mara mbili au zaidi ya bei halisi. Kamati Teule ilishuhudia bei za mitambo hiyo jijini Houston, Texas Marekani kwa watengenezaji kiwandani ikiwemo kampuni ya Kawasaki Gas Turbines – Americas ambayo iko chini ikilinganishwa na bei zinazotolewa na mawakala hao, jambo ambalo lingeiwezesha Serikali kununua na kumiliki badala ya kukodi kwa muda mfupi na kwa gharama kubwa. Mathalan, MW 105 zingepatikana kwa kununua mitambo sita ya MW 17,5 kila mmoja kwa gharama ya shilingi bilioni 56.25 badala ya shilingi bilioni 108.7 tulizotandikwa na Richmond Development Company LLC mitambo hiyo ikibaki mali ya wakodishaji. Kwa kumalizia Kamati Teule ilithibitisha kwamba kauli iliyokuwa inatolewa mara kwa mara na baadhi ya viongozi wote tuliowahoji kwamba kipindi hicho cha ukame haikuwa rahisi kupata mitambo hiyo na ilikuwa ikigombaniwa na nchi nyingi kauli hiyo ilikuwa sio ya ukweli na upotoshaji mkubwa.



(13) Utaratibu tuliourithi kutoka kwa wakoloni na kuuzoea wa kuiona mikataba ya kibiashara kuwa ni siri hata kwa walipa kodi wenyewe na kuwa uwanja wa pekee wa watendaji, ambao Waziri wa Mipango Uchumi na Uwezeshaji Mhe. Dk Juma Ngasongwa (Mb) aliusifia bungeni tarehe 19 Aprili 2007 kuwa best practice wakati akijibu swali la Mhe. Masolwa C. Masolwa (Mb) Mbunge wa Bububu, umepitwa na wakati na unakiuka misingi ya demokrasia na uwajibikaji. Matokeo ya utaratibu huu ni kuwepo kwa mikataba mibovu inayoficha vipengele vinavyoibebesha Taifa mizigo mikubwa ya gharama zisizokuwa za lazima kama tulivyoainisha katika pendekezo namba 3 hapo juu. Kamati Teule inatoa wito kwa Serikali kuondokana na utaratibu huu usio na tija kwa kuzihusisha Kamati za Kudumu za Bunge kwenye hatua za awali za maandalizi ya mikataba hiyo. Aidha, Kamati Teule inatoa wito kwa Kamati zote za Bunge zihakikishe kuwa zinapitia mikataba mikubwa nay a muda mrefu ya kibiashara chini ya sekta zao ili kuliondolea Taifa mizigo isiyo ya lazima. Pale ambapo upatikanaji wa mikataba hiyo unakwamishwa kwa urasimu usio wa lazima Kamati zitumie utaratibu uliotumiwa na Kamati ya Bunge ya Uwekezaji na Biashara ya kuunda Kamati Teule yenye ufunguo wa mikataba iliyofichika.



(14) Pamoja na dharura iliyokuwa inalikabili Taifa, Serikali haiwezi kuwa kinara wa uvunjaji wa taratibu, kanuni na sheria za nchi kwa makusudi. Kamati Teule imeanisha katika taarifa hii vitendo vya ubabe, ujeuri na kiburi vilivyofanywa na viongozi wa Wizara ya Nishati na Madini alimradi kampuni waliyoitaka iteuliwe kiasi cha kupindisha hata maamuzi ya Baraza la Mawaziri bila wasiwasi wowote, kukaidi ushauri wa kitaalamu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma mara tatu mfululizo na kinyume na maagizo ya Baraza la Mawaziri lililotaka Sheria ya Ununuzi wa Umma izingatiwe, kukiuka sheria kwa makusudi kwa kuingilia mchakato wa zabuni wa taasisi nyingine ya ununuzi, kuvipuuza vyombo vya ndani vya maamuzi vya TANESCO (Bodi ya Wakurugenzi, Bodi ya Zabuni n.k), kuilazimisha Bodi na Menejimenti ya TANESCO kuridhia maamuzi yaliyofanywa na Wizara ya kuibeba Richmond Development Company LLC kinyume cha sheria na taratibu n.k. Wizara hiyo katika kuibeba Richmond Development Company LLC ilifikia hatua ya kupotosha kwa makusudi ushauri wa Wizara ya Fedha uliozuia malipo ya awali ya Dola za Kimarekani Milioni 10 katika Barua ya Dhamana ya Benki ya Richmond Development company LLC. Siku iliyopotosha ilikuwa tarehe 6 Octoba 2006. Kamati Teule inapendekeza kwamba Waziri wa Nishati na Madini wa wakati huo Mhe. Dk. Ibrahim Msabaha (Mb) na Katibu Mkuu Ndugu Arthur Mwakapugi wachukuliwe hatua kali za kinidhamu kwa kuliingiza Taifa kwa makusudi kwenye mkataba na kampuni ya mfukoni ambao umesababisha hasara kubwa kwa nchi. Aidha Kamishna wa Nishati Ndugu Bashir Mrindoko naye achukuliwe hatua za kinidhamu kwa kushindwa kumshauri Katibu Mkuu mpya wa Wizara kuhusu udhaifu wa Richmond Development Company LLC ambao ulijulikana dhahiri na Wizara toka mwaka 2004 kwenye mkataba wa Bomba la Mafuta. Ndugu Mrindoko ndiye aliyeiandikia barua kampuni hiyo kusitisha mkataba wake na Serikali mwezi mmoja tu kabla ya mchakato wa zabuni ya umeme wa dharura haujaanza.



(15) Utaratibu wa kuteua wakurugenzi na makamishna katika Wizara kuwa wajumbe wa bodi za wakurugenzi za mashirika yaliyo chini ya Wizara, unazua mgongano wa kimaslahi, kudhoofisha usimamizi na uwajibikaji, hivyo Serikali iupige marufuku mara moja. Mfano Kamishna wa Nishati ni Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya TANESCO ambaye alishiriki kwenye kikao kilichowakataa wazabuni wote kuwa hawafai na kuishauri Serikali vilivyo, aliporejea Wizarani alishiriki katika kutengua maamuzi ya Bodi ya TANESCO.



(16) Uhuru mkubwa ambao viongozi wa Wizara ya Nishati na Madini waliutumia bila wasiwasi katika kuhakikisha kwamba kampuni waliyoitaka, Richmond Development Company LLC, inapewa zabuni ya umeme wa dharura; maelekezo ya mara kwa mara ya Waziri Mkuu kwa Wizara katika kila hatua ya mchakato huo; upendeleo wa dhahiri ambao Richmond Development Company LLC iliupata kutoka taasisi mbalimbali za Serikali k.m Kituo cha uwekezaji (TIC) ambacho kilifikia hatua ya kufumbia macho baadhi ya taratibu zake za msingi ili kuipa kampuni tanzu ya Richmond Development Company LLC cheti cha uwekezaji haraka iwezekanavyo; kutotimiza masharti ya Bodi za Makandarasi na Wahandisi na Wizara ya Nishati na Madini kuikingia kifua kampuni hiyo isichukuliwe hatua za kisheria; uteuzi wa mwisho wa Richmond Development Company LLC kuwa mkandarasi kufanywa na Waziri Mkuu mwenyewe tarehe 21 Juni 2006; uamuzi wa kuiteua Richmond Development Company LLC kuwa mkandarasi kusafishwa na TAKURU ( sasa TAKUKURU) kuwa ulikuwa wa wazi na wa haki; uamuzi wa Serikali kuizuia TANESCO isivunje mkataba na kampuni hiyo licha ya sababu zote kisheria kuwepo, ni baadhi tu ya viashiria vya nguvu kubwa iliyo juu ya Wizara ya Nishati na Madini kutumika katika suala hili na Kamati Teule kutokana na ushahidi wa kimaandishi, kimazingira na wa mdomo, inaiona nguvu hiyo kuwa ni Waziri Mkuu. Ibara ya 52 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 inatamka wazi kuwa Waziri Mkuu ndiye mwenye madaraka ya juu ya udhibiti, usimamiaji, utekelezaji wa siku hadi siku wa kazi na shughuli za Serikali ya Jamhuri ya Muungano na ndiye Kiongozi wa shughuli za Serikali Bungeni. Kamati Teule haikufurahishwa hata kidogo na taarifa hizo zinazomgusa moja kwa moja Mhe. Waziri Mkuu katika kuipendelea Richmond Development Company LLC. Hata hivyo Kamati Teule imetimiza wajibu wake kwa uwazi na ukweli kama ilivyoagizwa na Bunge letu Tukufu. Kwa kuzingatia umuhimu wa nafasi aliyonayo Mhe. Waziri Mkuu katika uendeshaji wa shughuli za Serikali na uongozi wa nchi kwa ujumla, ni wajibu wake yeye mwenyewe kupima uzito wa matokeo ya uchunguzi huu na wajibu wake kikatiba ndani na nje ya Bunge. Vile vile ni wajibu wa Bunge ambalo linathibitisha uteuzi wake kwa mujibu wa Ibara ya 51 inayothibitisha uteuzi wake. Kuangalia ikiwa matokeo ya uchunguzi huu hayajaathiri hadhi na uzito wake ndani ya Bunge.Mheshimiwa Spika, kwa kumalizia Kamati Teule ya Bunge ilifadhaishwa sana na tabia ya baadhi ya watendaji wa Serikali ya kukaidi amri ya kuwasilisha nyaraka zinazohitajika na Kamati Teule.Kamati Teule inaliomba Bunge litafakari kitendo cha aina hii na kufikiria hatua za kuchukua dhidi ya watendaji wa namna hiyo.7.0


SHUKRANI

Mheshimiwa Spika, naomba kurudia kukushukuru wewe binafsi na Bunge lako Tukufu kwa kutupa heshima hii kubwa ya kuunda Kamati Teule ya Bunge

Wasichana wa Kazi na akina mama, Tatizo nini?

SOMA YANAYOJIRI SASA KATIKA JAMII
naanza scenario maelezo yatafuata chini;

Scenario No. 1
Kuna baadhi ya familia kuanzia baba hadi watoto kwa ajili ya kuogopa au usumbufu wa kuamka usiku kwenda kujisaidia walikuwa na makopo ndani kwa ajili ya huduma hiyo, basi cha kwanza dada akiamka asb ni kukusanya makopo vyumba vyote na kwenda kumwaga chooni. Is it fair jamani...... too bad aisee.


Scenario No. 2
Kuna baadhi ya familia hurundika chupi za week nzima, ikifika jumamosi Mama anakusanya chu.pi za familia nzima na kumkabidhi dada kwa ajili ya kuzifua. Kwa nini hivi?

Scenario No. 3
Kuna baadhi ya familia ambayo dada wa ndani haruhusuwi kula hadi member wengine wote wa familia wale ndio yeye afuate, ni mwiko kula na pamoja na member wengine wa familia na hata kula yeye anakula jikoni na si dinning kama wengine, na ni mwiko dada kukaa sebuleni. aiseee!

Wadau naomba tudadavue tatizo ni nini kwa nini wanawake walio wengi hushindwa kuishi vema na wadada wa kazi? (akina mama ndio huwa-control wadada hawa)

Kadhia hii ndiyo huweza kusababisha wadada hao kufanya malipizi yasiyofaa kama yale ya wao pia kulipiza kwa kuwatesa watoto na hata kuwadhuru kabisa.

Je ni kweli akina mama/dada walio wengi hawaelewi umuhimu wa wadada hao wa kazi?
Nasema haya kwa kurejea matukio mbalimbali ambayo nimepata kusimuliwa na kuona namna ambavyo akina mama/ dada wengi wanawafanyia wadada hao na hata kusababisha hata watoto wa familia hizo kuwadharau akina dada hao.

Naomba michango yenu wadau walau wengine wajifunze hapa namna bora ya kuishi na wadada hao ambao kwa kweli wanaachiwa dhamana kubwa ya kuwalea watoto wetu ambao hawana hata chembe ya undugu wa damu.

Nawapongeza wale ambao wanaishi na akina dada kama wanafamilia wengine kwa maana ya wanaishi kwa upendo na kuthaminiwa kama member wengine wa familia!

JIULIZE ??? Kwanini Nyerere hakutaifisha seminari za Katoliki?


Moja ya Nguzo za Azimio la Arusha la mwaka 1967 ni kutaifisha vyanzo vyote vya Uchumi ikiwamo Mabenki, Mashirika ya Bima, Vyuo & Shule binafsi swali ni kwamba kwa nn hakutaifisha Shule za Seminari za Kanisa Katoliki? Je ni uonevu kwa taasisi zisizokuwa Katoliki? TAFAKARI

BILLIONAIRE LA KIKONGO LA IONESHA SERIKALI YA CONGO KWAMBA LINA PESA KUIZIDI


KINSHASA, Jan 23 (Reuters) - Israeli billionaire businessman Dan Gertler sold one of his Congo-based oil companies to the government last year for $150 million - 300 times the amount paid for the oil rights - in a deal criticised by transparency campaigners.






Gertler, an influential figure in Democratic Republic of Congo's mining and oil sectors with close links to the Kinshasa government, denies any wrongdoing in the sale of Nessergy Ltd, which paid a $500,000 signing bonus for its block in 2006.

The block lies near some of neighbouring Angola's most productive oilfields. At the time it was acquired by Nessergy, the block was located in an area at the heart of a maritime border dispute between Kinshasa and Luanda.

However, the two countries have since created a zone of common economic interest in an attempt to settle the border row. Last year, Congosought to buy back the rights from Nessergy to allow it to negotiate a new production sharing agreement with Angolan state oil company, Sonangol.

According to the contract for the April 2013 transaction seen by Reuters, Sonangol financed the deal, paying Gertler's Fleurette Group $150 million for the rights to the block. Congo will repay Sonangol out of future oil revenue.

Fluerette has been paid the fee but cannot access the money until a deal between the national oil companies of Congo and Angola is finalised.

A Fleurette representative said no major drilling had taken place in the Nessergy block due to disputes over development rights. He said the $500,000 signing bonus was the standard amount companies paid to Congo for oil rights at the time the contract was agreed.

The company said the value of its rights increased dramatically after oil was discovered on the nearby Menongue field in Angolan waters in 2007.

mwanafunzi wa kidato cha pili anena "MIE NI Form 2 NILIYEPATA ALAMA 20 LAKINI NIMEINGIA F3 "


Jamani napenda kujitokeza hadharani tena peupee na kukiri mbele yenu kabisa kuwa,mimi ni mwanafunzi wa Kidato cha Tatu niliyefaulu kwa Mbinde lakn mwaka huu umekuwa wa neema kwangu.Nimeingia F3 kwa alama ya F lakini kichwani hazimo kabisa.JE NITAKAPOFIKA F4 NITAFAULU KWELI? KIUKWELI MGEJUA MAMBO YANAYOJIRI SASA KICHWANI MWANGU!!!!!!!   KWA MUUNDO HUU LAZIMA NIPATE DIVISION 5

Waziri wa Fedha amjibu Prof. Lipumba


Prof LIPUMBA

Click image for larger version. 

Name: lipumba-02.jpg 
Views: 0 
Size: 17.9 KB 
ID: 135021



Waziri wa fedha amjibu Prof. Lipumba


MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amelishushia tuhuma nzito Baraza la Mawaziri, baada ya kudai baadhi ya mawaziri walioteuliwa hawana elimu ya kutosha.

Click image for larger version. 

Name: saada-mkuya.jpg 
Views: 0 
Size: 15.6 KB 
ID: 135020
Waziri wa Fedha, Saada Mkuya


Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Profesa Lipumba alisema mmoja wa mawaziri hao ni Waziri wa Fedha, Saada Mkuya.

Alisema chama chake, kina wasiwasi na elimu ya Waziri Mkuya, kutokana na wasifu wake kutoonyesha vyuo alivyosoma wakati wa kupata shahada ya kwanza na ya pili katika masuala ya biashara.

Alisema katika tovuti ya Bunge, wasifu wa waziri huyo umeonyesha sehemu aliyosoma elimu ya sekondari na kuhitimu kidato cha sita.

Alisema katika tovuti hiyo, haionyeshi chuo alichosoma shahada ya kwanza ya biashara, ingawa inaonyesha masomo aliyochukua jambo ambalo linatia mashaka uhalali wake kuongoza wizara hiyo nyeti.

“Ukiingia kwenye tovuti ya Bunge, utaona wasifu wake kuanzia elimu ya msingi hadi kidato cha sita na shule alizosoma, lakini kuanzia elimu ya shahada imeonyesha masomo aliyochukua na kupata shahada ya kwanza ya biashara, haionyeshi vyuo, jambo ambalo linatia mashaka,” alisema Lipumba.


Alisema nafasi aliyopewa inahitaji kiongozi mwenye upeo wa hali ya juu, kuweza kupambanua mambo yanayohusu uchumi wa nchi kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali za kifedha za ndani na nje ya nchi.

“Napata wasiwasi kama Rais Jakaya Kikwete, aliangalia wasifu wa waziri wake kwa sababu asingeweza kumchagua kushika nafasi kubwa kama hii, wakati vyeti vyake vina mashaka,” aliongeza.

Alisema kitendo cha kumuweka mtu mwenye vyeti vya mashaka, kunaweza kusababisha nchi kuyumba kiuchumi, kuongezeka kwa deni la taifa, kwa sababu uamuzi wake unatokana na ufahamu wake.


WAZIRI AJIBU

Akizungumza na MTANZANIA Jumatatu kuhusu madai hayo, Waziri Mkuya alisema elimu yake wala haina mashaka, kwani alisoma kidato cha tano na sita katika Shule ya Sekondari Lumumba mjini Zanzibar.

Baada ya hapo, alijiunga na masomo ya diploma ya Biashara katika Chuo cha Stamford cha Malaysia, ambapo pia alichukua diploma nyingine ya biashara nchini Uingereza.

Alisema mbali na masomo hayo, pia amesoma shahada ya pili ya biashara katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) na kuhitimu mwaka 2009.
“Nimehitimu Shahada ya Uzamili ya Utawala na Biashara (MBA) ya Chuo Kikuu cha WATT kilichopo Edinburgh, Scotland.

“Kwa sasa nachukua Shahada ya Uzamivu (PhD) ya Utawala wa Biashara Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, tawi la Dar es Salaam,” alisema Mkuya.

ROSE NDAUKA AMWANIKA BINTI YAKE "NAVEEN" HADHARANI





































 Rose  Ndauka ambaye ni mama anayetamba ndani  ya filamu za kibongo hivi karibuni alijifungua mtoto wa kike na kumpa jina la Naveen. Upekuzi  wa  mtandao  huu  umefanikiwa   kuinasa  picha  ya  Naveen  ikiwa  mtandaoni   kama  inavyoonekana  hapo  chini....
 
 Siku  chache  baada  ya  kujifungua, Rose  Ndauka  aliwaonya   wasanii wa kike kuachana na biashara ya utoaji mimba kwani ni kinyume cha maadili ya mtanzania.
 

Ziara ya Mbowe Mkoani Geita yapunguza wanachama

Bwana Mbowe baada ya gari lake kugonga mwendesha pikipiki na yeye kukodi gari nyingine na kumtelekeza mwendesha pikipiki akiwa na Maumivu Makali sana na yeye Mbowe kuendelea na ziara yake, wananchi Wa Esau kuwa kiongozi huyu kumbe Hana huruma kabisa, na wamesema Leo watafurika kumshuhudia kiongozi katili na Wameapa kumuuliza maswali bila kujali kwamba yeye Mbowe amewaandaa Redbrigade kuwatisha au kuwadhuru wananchi watakaothubutu kumuuliza maswali kiongozi huyo , maswali yaliyozuiliwa ni kuhusu zitto na lile la ajari. Taarifa hizi tumezipata kutoka kwa viongozi wetu waadilifu ndani ya Chadema kutoka Geita.

Rais Kikwete kutembelea daraja la Dumila kuona uharibifu.

Rais Kikwete muda mchache atatembelea daraja la Dumila kuona hali halisi ya uharibifu uliotokana na mafuriko ya maji na kukatiza mawasiliano ya barabara kwenda na kutoka Dodoma.

Pia Rais baada ya kuona uharibifu huo ataongea na wananchi waathirika wa mafuriko hayo ambao mpaka muda huu hawana makazi yoyote pia wakikabiliwa na hali ngumu ya maisha.

Pamoja na yote hayo atatembelea kambi ya ujenzi ya Wachina iliyo jirani hapo kwenye barabara ya kwenda Turiani.

Wapo wapi DR SLAA, MOHAMED MTOI, BEN SAANANE, MOLEMO, YERIKO NYERERE, MNYIKA, KILEWO na Makene?

Watajwa hapo juu ni miongoni mwa wanachama  ambao walikuwa wanakesha mtandaoni kukitetea CHADEMA ijapokuwa walikuwa wanazidiwa kwa hoja na vijana wa Lumumba. Watu hao walikuwa wanatumia muda mwingi kuwapotosha watumuaji wa mtandao hasa katika ufafanuzi wao ambao kimsingi uliacha maswali mengi.

Moja ya kituko ambacho sitakisahau ni katika sakata la kuondoa ukomo wa madaraka
kinyemela kwenye Katiba ya CHADEMA . wadau hawa walijichanganya sana kiasi cha kuzua maswali mengi mtandaoni na mjadala kuhamia huko uswahilini. Mathalan, wakati Dr Slaa akisema kuwa kipengele hicho hakijawahi kuwepo kwenye katiba yoyote ya CHADEMA, Mnyika alisema kuwa kipengele hicho kilikuwepo kwenye katiba ya 2004 lakini kwenye maboresho ya katiba ya 2006 hakikujadiliwa. Tumaini Makene naye akaja na hekaya yake kuwa kipengele hicho kilijadiliwa na wajumbe walikubaliana kukiondoa. kutokana na mkanganyiko huo, hali hiyo ilitafsiriwa ni kama uropokaji wa wanachama na viongozi hao wa CHADEMA mitandaoni.

Hivi sasa, kuna mijadala mingi inaendelea kwenye mtandao ambayo tulitaraji kuona wanachama na viongozi hawa wakijitokeza kama kawaida yao kutoa ufafanuzi. Moja ya hoja ambayo sasa inabamba ni hii ya CHADEMA kutumia zaidi ya bilioni moja kama gharama za M4C OPERESHENI PAMOJA DAIMA. Katika mjadala huu, sijamuona Tumaini Makene, Mnyika wala Molemo kutoa ufafanuzi. Najua Dr Slaa anaona aibu kuingia humu baada ya kutoa ufafanuzi uliomvua nguo.

Kuna vijana pia wanajiita akina Yeriko Nyerere na Ben Saanane. Hawa kwa kiwango kikubwa ndio waliokuwa wanatetea msimamo wa CC ya CHADEMA katika sakata la ZITTO KABWE. Baada ya suala hilo kufikishwa mahakamani na Kijana Albert Msando kuwagaragaza mawakili mashuhuri wa chama hicho, TUNDU LISSU na PETER KIBATARA, hawa vijana nao wamekimbia jukwaa. Sote kwa pamoja tuna kila sababu ya kuuliza hawa jamaa zetu yamewakumba yepi mpaka hawaonekani? je Wametekwa? tunawaomba waonekane mtandaoni kwa ajili ya mijadala zaidi ya mambo yanayojiri sasa.

January 26, 2014

ZITTO AKELWA NA VIONGOZI WA CHADEMA

 

Zitto Z Kabwe Atoa ya moyoni

Kufuatia kitendo ovu cha wafuasi wa chadema mkoani mbeya kuchonga jeneza na msalaba wenye jina la zitto, mbunge huyo ameeleza ifuatavyo:
"Chuki za kisiasa za kiwango hiki ni hatari sana. Viongozi wakuu kutokukemea mambo kama haya ni ishara ya udhaifu na kukosa busara. Kamwe sitalipa ubaya. Wema kwa ubaya ndio silaha tosha na mungu siku zote yupo na wanyonge. Nimechukizwa. Mola atawasamehe maana hawajui watendalo".

KAMPENI ZA CCM HAZIFAII!!!!!!!!!!!!!

Katika hali ya kushangza uzinduz wa kampen za ccm jumapil 26 jan a.bzimetawaliwa na matus ya ajabu sana.
Kwanza kabla ya kueleza matus hayo,nianze kwa kueleza mahudhurio ya watu ambapo wamefanikiwa kuwasomba watu kwa magar hasa kina mama na mabaloz wao kutoka sehem mbalimbali.
Baadhh niliowaona ni baloz wa ccm kutoka kata ya oleiren lazaro john,anakotoka meya wa kichina, gaudence lymo.wakinamama hao ambao wamekodishwa kutoka kata ya oloirien,moshono,terat na monduli waliandaliwa vit vya kukaa.
Waliingia kina mwigulu bila shamra shamra zozote ambapo ni pikipik tu baadh zimemsindikiza huku yakikosekana hata magar..
Mh alipocmama yaan mwigulu,alianza moja kwa moja kuwaponda vijana waliofika hapo kwa kuwaita wanywa viroba kwa kukubalo kuishabikia chama na viongoz wa cdm ambao cku zote wanawalisha vijana viroba.' bila viroba hamwez kufanya lolote.
'nyie vijana mmepotea kwa kushabikia chama kinachowanywesha watu viroba,hawana jipya wale.' machalii mnanyweshwa viroba' watu wote kimya....
Cdm hawastahil kuheshimiwa..kila cku nawaambia nyie machalii,mtakufa kwa chama cha kunyweshwa vroba.
Nyie machalii,hebu fikirien,' miaka 3 chadema imeua watu zaid ya kumi kwenye mikutano yao..' (wanashangilia kina mama wa3 tu). Hv cdm nalo ni chama? Hawa watu wanaua kila mara,utadhan wamejpaka damu.
'wamejpka damu hawa,na watu wakifa wengi,ndo wanapata fedha nyingi za wafadhili.tungekuwa na macho ya kiroho,tusingeshabikia hili lichama na lisingekuwepo kbs.
Chaguen Daudi..
Wakat naendelea kuandika,wakaja viongoz wa ccm watatu wakanizingira,wakaniuliza,mi fulan,we je nan..nikamwambia,ndo utaratb wa mktn wenu kila m1 kutaja jina? Akajb mzee m1 hapana,tumekuona unaandikaandika,we mwandishi wa wapi...? Nikamwambia kwan mwandishi haruhusiw hapa? Mwingne akajb tupe kitambulisho...nikawajib,chann kwan nmeua? Sitoi..tupe namba zako...nikamwambia sikupi..wakataka kuondoka wakarud tena..et usije ukaandika vibya,kuna maneno mengine hayafai kuandikwa...nikawaambia kama hayafai kwann kiongoz mkubwa wa serkal anayatamka hadharan? Watu wakawa wananiangalia..wataka tena namba zangu,nikadai kwanza zao wakanipa,nikawapa na zangu..wakaenda.
Muda huo mwigulu alikuwa akiporomosha matusi na nayaandika yote bila kuchuja.
1.docta slaa aliiba pesa za kanisa,akaja kwenye siasa.
2.halaf haka kazee hakana aibu,alimweka mwanafunzi na mwanakwaya wake mimba..
3.mkit wake nae anakula wengine,mpk mb wa vit maalum akahama kwake.
4.wahun hawa,kale kazee kakilala tu kakiamka ni wanawake.chama la hovyo kbs.
5.mgombea wake nae ana mahawara 7.

Ndg wana jf hayo ni baadh ya matus ya mwigulu aliyotukana hadharan jpo mengn ckuyanot kwa kusimbiliwa kila kona..
Kwa kifup hakuna sera ndg zangu,kidog mgombea aliongea japo nae aliikandia cdm na kusema uongo et alivamiwa na vijana wa cdm mia2 na kumpiga vbaya..wakt pale alipocmama alikuwa fit kbs..vjana mia2 wakuache hai kweli?.

Aliahid ahad nyng utadhan ana muda wa kuyatatua kama rais wake..ahad ni kama,kuwapa wakina mama mikopo,kujenga barabara,maji tele,zahanat safi.
'nichaguen mnanijua,elim yangu ndogo japo nafundisha sekondar,na nilisoma hapa mjin(bila kutaja shule).
Wakina mama,mjiandae...nakuja kwa kasi...
Hayo ndiyo niliyofanikiwa kunasa katk wakt mgum kwa kutishiwa.

Tanzania yaiomba Uingereza msaada wa mabehewa na injini za treni ambazo haizitumii lakini ni nzima.

  SERIKALI ya Uingereza inatafakari ombi la Tanzania la mabehewa na injini za treni, ambayo nchi hiyo haizitumii tena, lakini bado ni nzima kwa ajili ya kusaidia kuimarisha usafiri wa reli katika Tanzania na hasa wa Jiji la Dar es Salaam.Ahadi hiyo ya Uingereza ilitolewa na Naibu Waziri Mkuu wa Uingereza, Nick Clegg wakati wa mazungumzo yake na Rais Jakaya Kikwete kwenye hoteli ya..