It's certainly been an entertaining night's football - let's hope for more of the same tomorrow. I'm sure Liverpool supporters are looking forward to work tomorrow. Result of the night? There's been a few contenders, but the Reds have certainly raised a few eyebrows with that result. Anyway, that's all from me. Good night!











CCM"Tumesimamisha
mgombea Kijana,anakubalika na Wakazi wote wa Kibindu,Mchagueni Ndugu
Mkufya Ramadhani kuwa Diwani wenu hapa aendeleze yale yalioachwa na
Marehemu Rajabu Almas aliyekuwa Diwani(CCM) wenu hapa.Msijaribu kugeuza
Kibindu eneo la majaribio kwa Wapinzani,wameshindwa kujiongoza wao
ndani ya chama chao,Wameshindwa kuongoza Halmashauri mbalimbali
walizopewa waongoze(Mwanza n.k),Hivyo hawana sifa za kuongoza Jamii
yenye kiu ya maendeleo kama hii ya Kibindu,watawapotezea muda na Ipo
siki wataleta Maandamano huku ilihali mmekuwa mkiishi kwa Amani na
Upendo."



SERIKALI ya Uingereza inatafakari ombi la Tanzania la mabehewa na
injini za treni, ambayo nchi hiyo haizitumii tena, lakini bado ni nzima
kwa ajili ya kusaidia kuimarisha usafiri wa reli katika Tanzania na hasa
wa Jiji la Dar es Salaam.Ahadi hiyo ya Uingereza ilitolewa na Naibu
Waziri Mkuu wa Uingereza, Nick Clegg wakati wa mazungumzo yake na Rais
Jakaya Kikwete kwenye hoteli ya..




